Jumanne, 21 Aprili 2015

Majambazi wanene walio Mpola mzungu Milion 70 wakamatwa wakiwa na Bunduki 2 aina ya AK47 Maeneo ya Kinondoni

Majambaz wanne wamempora mzungu milion 70 kinondon DSM karibu na StanBic  wakakimbia na kukamatiwa Mtaa wa Redcross wana Bunduki Mbili' kuna msamalia mwema alijitolea kuwa fuata nyuma nyuma mpaka hapo Redcross kwenye Mataa Msamalia Akawa block Na kuna Askari wa Pikipiki Walio kwepo Eneo hilo la tukio Jamaa walipo blockiwa  wakashuka  Gari na mitutu Askari wa Pikipiki wakawa weka chini ya Ulinz na kuwa tia pingu.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni